SPIKA WA BUNGE MHE DKT TULIA ACKSON AKUTANA NA MAKONDA


 Spika wa Bunge na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Paul Makonda Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo tarehe 2 Novemba, 2023.

Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI