WELCOME SIMBA
🚨 DEAL DONE: Uongozi wa Simba umefikia makubaliano kumuajiri Mikaeli Igendia raia wa Kenya 🇰🇪 kuwa Meneja wa timu na Mkuu wa Sayansi ya Michezo kwa mkataba wa miaka miwili.
.
Igendia (47) anachukua nafasi ya Patrick Rweyemamu ambaye amekuwa Mkuu wa Programu za soka la vijana

Comments
Post a Comment