USTAA UKIZIDI NI USHAMBA
Anachokifanya Chama anataka kukuza acount zake kupitia mashabiki wa Simba na yanga lakini kama una akili ya kutatua mambo basi kwenye hili la Chama huwezi umiza akili kwanini ??
Mchezaji kama Chama naamin katika ungozi kama anatafta team hawezi kuandika kwamba anatafta team kupitia instgrm page haya ni mambo makubwa sana
Mashabiki wa yanga nao wameingia kwenye hili kwamba Chama anaenda kucheza yanga Arava jezi namba 6 haya mambo ukikurupuka utakuta baadae unajioa mjinga
Mashabiki wa simba pungunguzeni kulaum kwenye issue ya Chama kama ataondoka Chama aondoke watakuja wengine huwenda kudhidi yeye
Mtu anaye dumu kwenye mpira ni SHABIKI PEKEE WENGINE WAPI TAJI HAWA VIONGOZI PIA NI WAPI TAJI

Comments
Post a Comment