TETESI KUHUSU CHAMA
zandani zinasema mwamba wa Lusaka clatous chota chama yupo dar huku timu yake ikikweya pipa kuelekea Uturuki chanzo makini kinadai mwamba ajapewa mkataba mpya na Alionao unaelekea ukingoni bt amewambia waajili wake kuwa wasimulahumu pindi atakapofanya maamuzi
Yanga Sc naona wametolea macho hiii ishu na ninaona wanaweza kuweka no 6 msimu ujao acha tusubili.

Comments
Post a Comment