TAARIFA (Tetesi)


 TRANSFER NEWS UPDATES:


✍🏻 Djuma Shabani na Yannick Bangala wanaondoka Young Africans 🇹🇿 baada ya mabosi wa Yanga kuamua kuachana nao kwasababu ya utovu wa nidhamu.


✅ Mikataba yao inamalizika 2024 , kwasasa wapo wanamalizia sehemu ya mazungumzo ili kuachiwa huru .



Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI