SIMBA WAMEFELI KWA ADEBAYOR
Nyota Victorien Adebayor 🇳🇪 ameshindwa kujiunga na Simba Sc 🇹🇿 kutokana na dau kubwa linalotakiwa na klabu yake.
Viongozi wa Simba walifanya jitihada za kumchukua hata kwa mkopo lakini bado kiwango cha mshahara yao ilikuwa kikwazo kwao.

Comments
Post a Comment