KYOMBO NA SIMBA

 


✍🏻 Baada ya kikao cha mwisho leo Simba imeamua kumuacha nyota huyo aondoke kwenye klabu hiyo kwenye dirisha hili kubwa .


✍🏻 Kyombo ataondoka Simba SC kwa uhamisho wa kudumu au kwa mkopo kwenda klabu yoyote itakayomtaka .


✍🏻 Kyombo alikuwa kwenye target ya Singida Fountain Gate FC lakini hakuna mawasiliano yoyote kutoka Singida F.G kumtaka nyota huyo .


✍🏻 Ni Kyombo kuamua mustakabali wake atolewe kwa mkopo au mkataba wa kudumu lakini hayupo kwenye mpango wa Robertinho.


Stay Here ✅

Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI