CORAZONE AONDOKA SIMBA SC
🚨 CORAZONE KUTIMKIA BURUNDI
.
Kiungo wa Simba Queens, Corazone Aquino inaelezwa yupo mbioni kutua Buja Queens ya Burundi 🇧🇮 inayojiandaa na michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwezi ujao. Nyota huyo wa Harambee Starlets, timu ya taifa ya Kenya ameonekana akifanya mazoezi na timu hiyo.

Comments
Post a Comment