CAZE NA YANGA


 MZEE WA #ZACUBA (Mohammed)

Cedric kaze aachana na Yanga Kimya kimya hadi hivi sasa Kocha huyo yupo nchini kwao Burundi 🇧🇮 huku akitafuta timu ya kufundisha msimu ujao mezani kwake kuna offer kadhaa huku Singida Fountain Gate ikiwa ni moja ya timu zinazohitaji huduma yake kama kocha msaidizi

Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI