WANASIMBA AENDEEE???
Geita wamepeleka offer mezani wakitaka matola akawe coach wao kwa mda wa miaka miwili
Baad ya kuondoka kwa minziro Felix sasa wanataka mwamba kutoka simba sc ambaye ni coach wa Simba u 20
Geita wamepeleka offer mezani wakitaka matola akawe coach wao kwa mda wa miaka miwili
Baad ya kuondoka kwa minziro Felix sasa wanataka mwamba kutoka simba sc ambaye ni coach wa Simba u 20
Comments
Post a Comment