SIMBA WATAENDELEA KUTEMBEZA THANK YOU

 

🚨 SIMBA wiki hii zitatembea ‘Thank You’ za kutosha. Tayari wameachana na Agustine Okrah, Nelson Okwa, Victor Akpan na nimeambiwa anafuata Peter Banda na Sawadogo.

.

Kuna mjadala kuhusu hatima ya Joash Onyango ambapo baadhi wanadai apewe mkataba mfupi na wengine aachwe aende.

Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI