SIMBA WAMEPANIA

 


Simba imepania kurejesha ufalme baada ya kukosa mataji katika misimu miwili mfululizo, na katika kufanikisha hilo imeamua kuingia sokoni kusajili mastaa wapya ambapo kocha mkuu wa kikosi hicho, Roberto Oliveira anataka.

.

Uongozi wa Simba upo tayari kumtimizia kocha Mbrazili huyo mahitaji yake na sasa wameingia sokoni kumng’oa winga na staa katika Ligi Kuu ya Rwanda, Leandre Willy Essomba Onana (23)

.

Onana anayekipiga Rayon Sport kwa sasa ndiye kinara wa mabao Ligi Kuu ya Rwanda akifunga 15 na kuasisti 10. Anasifika kwa kasi, chenga na stamina akiwa na mpira lakini pia ni mtaalamu wa kufunga akitumia zaidi mguu wa kulia.


………………

Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI