🚨 SIMBA SPORTS UPDATE

 


Klabu ya Simba SC iko katika mipango ya kuwatoa baadhi ya wachezaji wake ambao hawajapata wasaha mzuri wa kucheza kwenye kikosi cha kwanza cha Simba SC ili wakacheze klabu ya West Armenia 🇦🇲 ya huko Ulaya


Baadhi ya majina yaliyopendekezwa ni Habibu Kyombo, Jonas Mkude, Mohamed Mussa, Nassoro Kapama na Jimmyson Mwanuke, 🇦🇲.


Viongozi wa West Armenia 🇦🇲 wamepewa ili kuwatazama kama watawafaa mazungumzo yaanze. 



Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI