SIMBA NA KANOUTE 🚨🦁


 


Sadio Kanoute amefikia makubaliano ya kuongeza mkataba wa muda mrefu wa kuendelea kuitumikia Simba Sc.


Bado hajasaini lakini kwa upande wake hakuna shida, amewasha taa ya kijani ya kusalia unyamani.


✅ Akitoka Mapumzikoni atasaini 

Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI