SAKHO YULEEEEE






..🚨 JUST IN: Kocha wa timu ya taifa ya Senegal Aliou Cisse amemjumuisha Kiungo mshambuliaji wa Simba, PAPE SAKHO katika kikosi cha wachezaji 24 cha timu ya taifa ya Senegal πŸ‡ΈπŸ‡³ ‘Simba wa Terenga’ kitachocheza mechi mbili, moja ya kufuzu michuano ya AFCON dhidi ya Benin πŸ‡§πŸ‡― na nyigine ya Kirafiki dhidi ya Brazil πŸ‡§πŸ‡·.

Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI