ROBERTINHO ASEPA .

p

 

Taarifa kutoka ndani ya Simba zilisema jana kuwa Kocha Mkuu Roberto Oliveira ‘Robertinho’ anatarajiwa kutimkia kwao Brazil 🇧🇷 leo kwa mapumziko mafupi kabla ya kurejea mwezi ujao kuanza maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu, Ligi ya Mabingwa Afrika na CAF Super League.

.

Kocha huyo anatimka, akiwa ameshaacha ripoti yake ya msimu huu na mapendekezo ya usajili mpya wa kikosi hicho.


…………

Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI