MOJA YA WACHEZAJI AMBAO SIMBA ITAWATEMA
nimepata taarifa kutoka kwenye vyanxo vanguard muhimu kwamba mkude hatoitumikia simba msimu huu
Hili swala linaweza kuwashangaza mashabiki lakin mkude ameonesha kutokuwa na umuhimu kwenye team kwa msimu mzima anaweza shiriki match 6 pekee baada ya hapo mambo yanaanza kwenda tofauti

Comments
Post a Comment