MAMBO MAGUMU KWA BRUNO

 

BRUNO GOMES NGOMA NGUMU 

.

Kiungo Mshambuliaji wa Singida Fountain Gate FC, Bruno Gomes mambo yamekuwa magumu kutua Msimbazi. Nyota huyo raia wa Brazil 🇧🇷 kwa sasa yuko kwao kwa ajili ya Mapumziko, amewekewa ngumu kujiunga na Simba baada ya Kigogo mmoja kuzuia usajili wake kwa Wekundu wa Msimbazi ambao wamepania kurejesha Heshima.

.

Bruno ni pendekezo la Kocha Robertinho ambaye aliwaambia vigogo wa Simba anamtaka ili akasaidiane na fundi Clatous Chama, Said Ntibazonkiza na Mzamiru Yassin katika eneo la kiungo.



Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI