KWAHERI NABI
kwa taarifa ambazo zimenifika hadi mda huu ni kwamba mwamba amegoma kusaini tena mkataba .
Taarifa za hivi punde ni kwamba nab amegoma kusaini mkataba mpya anaelekea South 🇿🇦
Wana yanga poleni kwa hili jambo liko seriasi na si tetesi tena chukueni hii

Comments
Post a Comment