KUHUSU KYOMBO

 

Kuhusu kyombo kuagana na Simba limefikia pazuri baada ya makubaliano kutoka pande zote mbili hivyo basi atatangazwa mda wowote kuanzia hivi sasa 

Kuhusu Kennedy na bocco pia majadiliano yanaendelea lakini uongozi upo kwenye pande mbili wapo wanao kataa na wapo wanaokubali licha kuwa bado hawajafikia muafaka ina maana wakati wowote pia tutajua mwisho wake 

Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI