KINACHOENDELEA KUHUSU ADEBAYOR

 



Wanasimba kinacho endelea mwamba amekubali kuitumikia Simba kwa mda wa miaka miwili .


Kwa asilimia 75 hadi mda huu mwamba ni mnayama kwa taarifa ambazo nimezipata hivi punde kilichobaki ni adebayor kumalizana na berkane maana anamkataba nao 

Huwenda akaitumikia simba sc msimu unaokuja 


Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI