KIBU NA SIMBA

 

MWAMBA AMEONGEZA MKATABA 

🤩


baada ya kufanya vzuri kibu Denis simba imefikia hatu ya kumpa miaka miwili tena kwaajili ya kuitumia simba sc 

Wakati huo Kennedy ameomba kuondoka simba na shaomari kapombe yuko mbioni kuongeza mkataba wake 

Wanasimba hii vipi??

Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI