KARISA NA SIMBA
🚨MILTON KARISA UPDATE
Mazungumzo kati ya Mshambuliaji wa Vipers, Milton Karisa yamefikia hatua nzuri hadi sasa kwa mchezaji huyo kujiunga na Simba kwa ajili ya msimu mpya.
Milton Karisa huenda akasaini mkataba wa miaka miwili ikiwa ni mapendekezo ya kocha mkuu wa Simba, Robertinho kwa ajili ya msimu mpya wa mashindano.
Mshambuliaji wa Vipers, Milton Karisa ameeleza nia ya kutaka kujiunga na Simba kwa ajili ya msimu mpya na inasemekana ndiye mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Simba.
#sportsnewsupdates💪

Comments
Post a Comment