BYE BYE MWAMBAAA

 

🚨 THANK YOU! FISTON MAYELE

.

Nipo hapa kuthibitisha straika hatari Fiston Kalala Mayele πŸ‡¨πŸ‡© hatocheza Yanga msimu ujao. Rasmi aliomba kuondoka Yanga mara baada ya mchezo wa nusu fainali ya CAFCC dhidi ya Marumo na msimamo wake ni kwenda kutafuta changamoto mpya akiwa na ofa kubwa mbili kutoka Saudia πŸ‡ΈπŸ‡¦ na Afrika Kusini.πŸ‡ΏπŸ‡¦

Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI