AMEONGEZA MKATABA

 

🚨H E R E T O S T A Y 🚨


Beki mahiri wa kulia, @chilambo20, atasalia kwenye klabu yetu hadi mwaka 2025, baada ya kuongeza mkataba mpya wa miaka miwili.


@chilambo20 anamudu kutumia kwa ufasaha miguu yote miwili 'The Ambidextrous'.



Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI