WAMEOMBA KUSEPA









 πŸš¨ Mastaa walioomba Kuondoka Simba

.

πŸ‡°πŸ‡ͺ Joash Onyango

πŸ‡ΏπŸ‡² Moses Phiri

πŸ‡ΈπŸ‡³ Pape Sakho

Simba kupitia afisa habari wake wamesema hawana mpango wa kuwaacha wachezaji wao muhimu haimaanishi kwamba wakitaka kuondoka watazuiliwa hapana 

Ila mpango wa team ni kubaki sasa hii inakuwa ipo kwenye mikono ya wachezaji zaidi kuliko team maana unaweza kumtaka mchezaji yeye asitake 



Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI