UZINDUZI WA IKULU MPYA YA CHAMWINO DODOMA

PICHA NA VIDEO,Muonekano wa jengo jipya la Ikulu ya chamwino Dodoma ambalo limezinduliwa rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan tarehe 20may2023,

Picha Rais Samia akikata utepe ikulu mpya Dodoma 

       Eneo la Ikulu hii lina zaidi ya hekari 8470 ambapo limezungushiwa ukuta wenye KM 27Inavosemekana kwa ukubwa wa eneo hili yawezekana kabisa kuwa hii ndio Ikulu yenye eneo kubwa duniani

Pia Raisi samia amesema kinachofuata baada ya kukamilika kwa ikulu hio ni jengo kubwa ambalo litaitwa 'Samia complex' jengo hilo litakua na uwezo wa kubeba watu zaidi ya 2000 hadi 3000 kwa ajiri ya mikutano mbalimbali  ya kitaifa na kimataifa ,pia viwanja mbalimbali  vya michezo pamoja na lounge na vyumba mbalimbali  vya viongozi.


Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI