Wanasimba wa mikoa ya kusini timu yenu inakuja kuwabili Namungo FC na Azam FC. Ratiba kamili ya safari na michezo inapatikana kwenye Simba App. #NguvuMoja
. 24—HAKUNA mchezaji katika historia ya Ligi Kuu England ambaye ametoa asisti nyingi kwa mchezaji mwenzake mmoja zaidi ya asisti za mabao ambazo Harry Kane amempa Son Heung-min (24, sawa na asisti ambazo Frank Lampard alimtengea Didier Drogba).
Comments
Post a Comment