PETER BANDA NA SAKHO KUONGEZWA MKATABA
🚨| ROBERTO OLIVEIRA UPDATES
- Robertinho ambaye ni kocha mkuu wa klabu
Caoch amesema kuwa PETER BANDA na PAPE SAKHO wako kwenye mipango yake ya muda mrefu.
- Robertinho amesema kuwa kwenye mechi kadhaa za Simba amefurahi sana kuwatumia wachezaji muhimu ambao ni dhahiri kuwa ni FUTURE ya klabu.
- Taarifa za kuaminika ni kuwa Simba imeshaanza mazungumzo rasmi na wachezaji wake muhimu ili kuwaongezea MIKATABA ya muda mrefu, ni kwa ajili ya matakwa ya kocha.
- Certain information states that there are some important SIMBA players who have finished their contracts at the end of this season.....

Comments
Post a Comment