🚨NABI KUSEPA YANGA
Nabi alishapewa kishika uchumba na team moja kubwa barani africa hivyo mda wowote kuanzia sasa anaweza kusepa wananchi msimtegemee tena kwa misimu mingne ijayo
Yanga wanapaswa kuanza mpango mwingne wakutafta coach pamoja na namba 9 mwenye uwezo maana mayele naye ataondoka mwisho wa msimu huu
Wananchi hapo vip 👀

Comments
Post a Comment