NABI ANASEMA WATACHEZA KAMA WANAJESHI



“Nitaendelea kuwakumbusha wachezaji wangu kwamba tunatakiwa kuipigania heshima ya klabu yetu kwa kucheza kama wanajeshi tunatakiwa kwenda kuipigania Yanga, tunatakiwa kwenda kuipigania Tanzania.”

.

“Natamani kuona kila mchezaji akicheza kwa jihadi na kujitolea nguvu zake zote kama anavyocheza beki wetu Bacca, napenda sana kumuona anavyojituma uwanjani, tunatakiwa kukaba kwa nguvu na kushambulia kwa nguvu lakini kikubwa tukipata nafasi tuzitumie.

.

“Wapinzani wetu watakuja kwa nguvu kubwa kutokana na matokeo ya mchezo uliopita, nasi tunatakiwa kuwa na nguvu ya kutoruhusu watufunge kuwathibitishia kwamba hatukubahatisha.”

Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI