NABI AMESEMA HAYA
๐ KOCHA NABI:
“Tutaenda Afrika Kusini kwa mbinu mpya kwani Marumo wanachezea sana mpira na wepesi wa kushambuliaji kuanzia eneo la katikati, naamini wachezaji watazingatia baada ya kuelekezana na wanajua umuhimu wa mchezo huo wa ugenini

Comments
Post a Comment