LEO SIMBA IMEMTAMBULUSHA COACH MATOLA


 Leo tumemtambulisha rasmi Kocha Selemani Matola kuwa Kocha mkuu wa timu zetu za vijana chini ya miaka 17 na 20


Pia tumemtambulisha Patrick Rweyemamu kuwa Mkuu wa Programs za vijana za Simba


Kwanini Patrick na Matola, wawili hawa wana uzoefu mkubwa kwenye eneo hili la vijana, tunaaamini watafanya makubwa kama ambavyo walifanya hapo awali

Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI