HALLAND ATAFIKA EURO BILION 1

 

.


Ndo hivyo. Wakala wa straika wa Manchester City, kiboko ya nyavu Erling Haaland amesema mteja wake atakuwa mwanasoka wa kwanza kuwa na thamani ya Euro 1 bilioni (Sh 2.6 trillion)

.

Wakala wa straika huyo wa Norway, Rafaella Pimenta alisema: “Anagharimu kiasi gani? Nataka kuwaambia atakuwa mwanasoka wa kwanza kuwa na thamani ya bilioni. Hebu fikiria tu kile anachofanya wakati akiwa na umri wa miaka 22 tu. Hii nguvu yake ni balaa, atakwenda kuvunja rekodi zote.”

.

Man City ipo kwenye msako wa mataji matatu Haaland ndani ya msimu huu kwenye michuano yote ngazi ya klabu amefunga mabao 50.


Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI