DAU LA KUMFUNGA YANGA

 

Mastaa wa Marumo leo asubuhi walikutana na kikao kizito kilichoandaliwa na uongozi wa timu hiyo katika kuwahamasisha kufanya vizuri katika mechi yao kesho kutwa Jumatano dhidi ya Yanga.


Rais wa Marumo Gallants, bilionea Abraham Sello ndiye aliongoza kikao hicho kilichotumia takribani dakika 30 na Licha ya yaliyozungumzwa kufanywa siri, inafahamika kuwa nyota wa Marumo waliahidiwa bonasi ya Rand Milioni 8 sawa na Sh Bilioni 1 kwa fedha za Kitanzania iwapo watafanikiwa kushinda na kutinga Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.


Je, Marumo wataweza kupindua meza mbele ya Wananchi ..!?



Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI