AZAM WAMTAKA BANDA SIMBA IMEGOMA

 

🚨‘WONDERKID’


- Winga Peter Banda, Taarifa za kuaminika ni kuwa hakuna taarifa za uhamisho wa Peter Banda zinazomhusisha kuachana na Simba mpaka sasa.


- Kocha Robertihno anaamini sana kipaji cha winga wake Peter Banda na anaamini pia ni future ya muda mrefu ndani ya klabu ya Simba.


- Azam Fc ilituma ofa rasmi kwa klabu yake kuhitaji kuipata saini ya Peter Banda lakini ilikataliwa na klabu ya Simba hapo awali.



Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI