MAJERUHI HOFU TUPU
.
Simba katika mchezo wa leo watamkosa kipa chaguo la kwanza, Aishi Manula na huenda pia wakamkosa kiungo wao mahiri, Sadio Kanoute.
.
Wydad watawakosa nyota watatu, mshambuliaji Bouly Sambou pamoja na kipa namba moja Ahmed Tagnaouti na beki wa kati Amine Farhan.
…………

Comments
Post a Comment