HAJJI AMELEFT KWENYE GROUP
Habari ambazo zimetufikia mda huu ni kwamba afisa habari wa Yanga amejiondoa kwenye group la wanahabri wa Yanga.
Chanzo cha kujiondoa ni baada ya kuwasema waandishi wenzake kupitia Chanel yake ya YouTube kwamba wasiwe wanaongea sana kabla ya match
Lakini kama unafatilia hajji aliwahi kuongea maneno ambayo leo wenzake wanaongea yeye anayapinga nini maana yake
Kaa hapa sisi tunaendelea kukuthamini na kukupa habari za moto zote za michezo

Mbna na yy manara anaongea sana
ReplyDelete