CAMAVINGA


 


 Wakala wa Eduardo Camavinga Barnett: "Anataka kuwa Real Madrid maisha yake yote. Hakutakuwa na matatizo na Real Madrid, tutakaa chini na nina uhakika tutafikia makubaliano”, aliiambia Goal. ⚪️🇫🇷


 Wakala wa Camavinga Barnett: "Tetesi za kuhama Arsenal Januari? Hiyo ilikuwa takataka, ni kitu ambacho hakingetokea”. ⛔️ #AFC


 "Hakuwahi kufikiria kuchezea timu nyingine na Real hawakumruhusu kuondoka. Yeye ndiye mustakabali wa Real Madrid."


Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI