TAIFA STARS WAMELOA NYUMBANI


 TAIFA STARS WAMELOA NYUMBANI


Mchezo wa Marejeano kati ya Tanzania Dhida ya Uganda uliocheza Jana mida ya Saa mbili usiku KWA MKAPA,Tanzania Wajikuta kwenye Wakati Mgumu zaidi Baada ya kupoteza Mchezo kwa goli moja lililofungwa Dakika ya 91' ya Mchezo Huo 


Goli lilifungwa na Mshambuliaji mdogo zaidi Rogers Mato (ana miaka 19 tu) na Kufuta matumaini ya watanzania kufuzu AFCON 


Matumaini yanadidimia Zaidi tupo nafasi ya pili tukiwa na alama 4 Sawa sawa na za Uganda,idadi ya Magoli tuliofunga ni mawili sawa sawa na Uganda na tukiruhusu magoli manne sawa sawa na Uganda


Mechi zijazo zote ni Ngumu,mechi zilizo salia mbili moja ikiwa dhidi ya Niger na nyingine ngumu zaidi ni ile ya Ugenini dhidi ya Algeria


Swali linabaki je Tutafuzu????!



@ETHANMEDIA,Chanzo Cha habari kutoka,,,..

#DOLLARSTV

#DOLLARSUPDATES

Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI