MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI AWATAJA HAWA WASANII KUTOKA TANZANIA

 MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI AWATAJA HAWA WASANII KUTOKA TANZANIA






Hii ni List ya Miongoni Mwa wasanii kutoka Hapa kwetu Tanzania walio tajwa na Makamu wa Rais Marekani @kamalaharris 


Hii ni ikiwa katika ziara yake katika Baadhi ya nchi za Afrika ikiwa Ghana,Zambia na J5 ya tarehe 29/03/2023 anatarajia kuwepo Hapata Tanzania


Makamu huyu wa Rais ametoa Spotify List yake Yenye Jumla ya Nyimbo 25 

kwenye List hii Nyimbo kutoma tanzania zikiwa ni 9 Huku wasanii wakiwa ni 10

Marioo ameingia kwenye nyimbo nyingi zaidi zilizo tajwa

Ameipa jina la MY TRAVELS (SAFARI YANGU)


Wasanii walio tajwa kutoka Hapa Tanzania ni


1.Harmonize-Single Again

2.Zuchu-Utaniua

3.Alikiba-Mahaba

4.Jaymelody-Sawa

5.Mbosso-Shetani

6.Jux Ft Marioo-Nice kiss

7.Darassa-No body

8.Marioo ft Abbah-Lonenly

9.Platform & Marioo-Fall






Mziki wetu unasikilizwa mpaka na wakuu wa Nchii


@ETHANMEDIA, Chanzo kutoka...,

#DOLLARSTV

#DOLLARTVUPDATES

Comments

Popular posts from this blog

PACHA HATARI